text
stringlengths 1
4.5k
|
---|
Home > Haja Ya Dini > Haja Ya Dini > 6) Sifa Za Dini > 6) Ni lazima dini isitumike kama zana mikononi mwa wadhalimu, ili kuudhulumu umma.
|
Askari Polisi aliyevalia kiraia (kulia) akimdhibiti raia ambaye hakuweza kufahamika jina lake mara moja (kushoto) nje ya jengo la Makao Makuu ya Benki ya NBC Posta ya zamani jijini Dar es Salaam, leo asubuhi. Haikuweza kufahamika kwa haraka chanzo cha jamaa huyo kutiwa nguvuni na askari hao waliompakia kwenye gari lao la Doria na kuondoka naye mahala hapo.
|
wa kampuni ya Ulinzi ya SGA na Askari Polisi wanao linda Benki ya NBC maeneo ya Posta ya zamani Jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
|
Kwa nini Afrika itanyakua kombe la dunia - BBC News Swahili
|
Tangu kuanzishwa kwa michuano ya kombe la dunia, hakuna timu ya Afrika imeibuka mshindi lakini mwaka huu, kulingana na afisa wa kandanda eneo la bonde la ufa, Ramadhan Mbugua, Afrika itashinda kombe hilo kupitia mmoja ya waakilishi wake watano ambao ni Nigeria, Senegal, Tunisia, Morocco na Misri…….John Nene amezungumza na Mbugua mjini Nakuru
|
Baada ya kufunga goli moja leo dhidi ya Swansea City, Romelu Lukaku amefunga jumla ya magoli 100 katika mechi za Ligi kuu ya Uingereza.
|
Lukaku amefanikiwa kufanya hivyo akiwa na umri wa miaka 24.
|
CHADEMA wayakana matokeo ya Uchaguzi wa Marudio majimbo ya Kinondoni na Siha _ Gazeti la Jamhuri
|
Massawe anadaiwa kutekwa katikati ya Mji wa Moshi na wafanyabiashara ndugu wanaomiliki vitegauchumi kadhaa katika Jiji la Mwanza na kupelekwa katika moja ya nyumba za wafanyabiashara hao eneo la Kibosho ambako inadaiwa alipewa mateso hadi kuuawa. Baada ya mauaji hayo, aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Lucas Ng’hoboko, aliueleza umma kuwa Massawe aliuawa na wananchi, lakini baada ya kelele nyingi kupigwa na familia, hatimaye aliyataja majina matatu ya wafanyabiashara wanaotuhumiwa kuhusishwa na mauaji hayo.
|
Mwaka 2007, Massawe na wenzake wanne walihukumiwa kifungo cha miaka 14 jela baada ya kupatikana na hatia ya kuvunja na kuiba nyumbani kwa ajuza huyo, lakini mwaka 2008 waliachiliwa huru baada ya kukata rufaa kupinga adhabu hiyo. Katika barua yao ya Oktoba 7, mwaka jana kwenda kwa DPP, familia hiyo inalalamika kutokamatwa kwa watu muhimu kwenye mauaji ya Massawe lakini pia wakihoji kigezo kilichotumika kuwaachilia huru baadhi ya watuhumiwa wa mauaji hayo.
|
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel (kulia) pamoja na Balozi wa Italia, Mhe. Roberto Mengoni wakikata utepe kuashiria ufunguzi wa Maonyesho ya Uchoraji picha za Utamaduni wa Italia 17 Oktoba, 2016 Jijini Dar es Salaam.
|
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel (kulia) akiwahutubia wageni waalikwa wakati wa Ufunguzi wa Maonyesho ya Uchoraji picha za Utamaduni wa Italia 17 Oktoba, 2016 Jijini Dar es Salaam.
|
Balozi wa Italia, Mhe. Roberto Mengoni(kulia) akiwahutubia wageni waalikwa wakati wa Ufunguzi wa Maonyesho ya Uchoraji picha za Utamaduni wa Italia 17 Oktoba, 2016 Jijini Dar es Salaam.
|
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel (kulia) pamoja na Balozi wa Italia, Mhe. Roberto Mengoni wakijadiliana jambo mara baada ya Ufunguzi wa Maonyesho ya Uchoraji picha za Utamaduni wa Italia 17 Oktoba, 2016 Jijini Dar es Salaam.
|
Baadhi ya wageni waalikwa pamoja na watendajji wa Serikali wakifuatilia hotuba za Viongozi wakati wa Ufunguzi wa Maonyesho ya Uchoraji picha za Utamaduni wa Italia 17 Oktoba, 2016 Jijini Dar es Salaam.
|
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel (kulia) akiangalia michoro mbalimbali ya picha za kiutamaduni wa Italia baada ya Ufunguzi wa Maonyesho ya Uchoraji picha za Utamaduni wa Italia 17 Oktoba, 2016 Jijini Dar es Salaam. (Picha zote na Benedict Liwenga-WHUSM)
|
MWENYEKITI wa chama cha waandishi wa habari mkoani Pwani, (CRPC),Ally Hengo akizungumza na waandishi wa habari wa mkoa huo .(picha na Mwamvua Mwinyi)
|
Mkuu wa wilaya ya Kibaha Assumpter Mshama, wa kwanza kushoto akionekana kumfosi mwandishi wa habari aliyesimama kulia, aombe msamaha kwenye mkutano wa hadhara kwa kosa la kuandika wilaya kutosimamia agizo la raisi la kufanya usafi. (Picha na Mwamvua Mwinyi)
|
CHAMA cha waandishi wa habari mkoani Pwani, (CRPC)kimeelezea kusikitishwa na kitendo kinachodaiwa kufanywa na mkuu wa wilaya ya Kibaha Assumpter Mshama, cha kumdhalilisha mwandishi wa habari katika mkutano wa hadhara eneo la Mailmoja.
|
Mkuu wa wilaya huyo alifanya kitendo hicho novemba 29 mwaka huu,baada ya mwandishi huyo wa gazeti moja la kila siku nchini kutoa habari ya agizo la zoezi la usafi Kibaha kupuuzwa.
|
Hengo alisema kutokana na tukio hilo uongozi na wanachama wa klabu ya waandishi wa habari mkoa imekutana na kulaani kitendo hicho.
|
Alitoa wito kwa viongozi kuacha kutumia njia za ubabe na udhalilishaji na badala yake watumie vyama vya wanahabari mikoani na kamati za maadili za chama hivyo ama kumpa onyo faragha mhusika.
|
Kwa upande wake mwandishi huyo anaedaiwa kudhalilishwa (Sanjito Msafiri) alisema kuwa mnamo novemba 29 alipigiwa simu na kisha kuitwa kwenye mkutano wa hadhara na mkuu huyo.
|
Alifafanua kuwa baada ya kufika mkutanoni ndipo alipokutana na kushambuliwa kwa maneno ,na kuitwa mbele ya meza kuu na kushinikizwa aombe radhi umati wote kwa kuandika habari hiyo.
|
"Nilikataa kuomba msamaha kwake na kwa wananchi kwa kuwa nilikuwa najua naamini nilichokiandika kipo sawa ,na hata yeye kama ni mkuu wa serikali hawezi kunilazimisha kuomba msamaha watu kwa kuingilia majukumu yangu"
|
Mwandishi huyo ,aliwaomba viongozi mbalimbali kuheshimu kazi ya uandishi wa habari bila kuwadharau waandishi wakati kwenye mambo yao huwa wakiwakimbilia.
|
Walisema tasnia hiyo ni muhimu na imeshawavusha wengi kufika walipo sasa hivyo kuna kila sababu ya kuheshimiana na kuwekeana mipaka.
|
Katika toleo la gazeti hilo novemba 29 mwaka huu kuliandikwa kuwa agizo la mheshimiwa rais la kufanya usafi kila mwezi kwasasa wilayani Kibaha linaonekana kutozingatiwa kutokana na kigezo cha kulipa faini .
|
Grm Production: Tanzania ya kwanza Afrika Mashariki katika usafiri wa mabasi yaendayo kasi-Waziri mkuu Mizengo Pinda
|
Tanzania ya kwanza Afrika Mashariki katika usafiri wa mabasi yaendayo kasi-Waziri mkuu Mizengo Pinda
|
Waziri mkuu Mizengo pinda ndiye alikuwa mgeni rasmi. Alifungua mkutano wa majadiliano wa kutangaza mradi wa mabasi yaendayo haraka kwenye ukumbi wa Mlimani city.
|
Mku wa Mkoa wa DSM akimpa maelezo Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe Hawa Ghasia
|
Wadau na wawekezaji kwenye sekta ya Usafiri.
|
Kituo cha kigamboni cha mabasi yaendayo kasi
|
Wawekezaji wazawa!!!!kwenye sekta ya usafiri
|
Tanzania ya kwanza Afrika Mashariki katika usafiri...
|
Nice. Mama na Mwana
|
Waheshimiwa nao walikuweko. Safi sana.
|
Wazazi wa Bi Harusi mtarajiwa. Prof Mwette na Mkewe. Safi sana
|
First lady akipokelewa na wazazi wa bi Harusi. Safi sana
|
Kweli katika mchakato wa Vazi la taifa Nazani Kweli Mama Salam kikwete au First Lady inabidi awe kwenye kamati. Kwenye mambo ya mavazi pia nimtaalamu sana. Safi sana Mama Salma.
|
Bwana Harusi mtarajiwa akitambulishwa kwa wageni waalikwa.
|
Mambo ya msosi . Kweli kaka yangu Doglasi unatisha. Safi sana
|
Kamati ya Maandalizi ya Sherehe
|
Watu wakisali kuomba amani wakati ilipotimu saa 12:12:12, katika hafla iliyoitwa "Light Meeting" mjini Tama, magharibi mwa Tokyo leo Desemba 12, 2012, wakiadhimisha siku ya mwisho kwenye karne hii ambayo namba za tarehe zinatokea zikiwa zimefanana. Picha: REUTERS
|
Wanandoa wapya na viongozi wa tempo wakipozi kwa picha ya pamoja wakati wa ndoa ya pamoja iliyoandaliwa kwa ajili ya kuiwahi tarehe 12.12.12 mjini Kuala Lumpur, Malysia leo Desemba 12, 2012. Picha: REUTERS
|
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imetangaza majina manane ya wagombea ambao yamepita katika mchujo wa awali kuwania nafasi mbalimbali katika Kamati ya Uongozi (Management Committee) ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
|
Kwa mujibu wa kamati hiyo, Ramadhan Mahano na Hamisi Madaki wamepitishwa kuwania nafasi ya Ujumbe wakitokea klabu za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
|
Wagombea kwa mujibu wa kanuni za uendeshaji wa Bodi ya Ligi Kuu ni marais au wenyeviti wa klabu husika. Wagombea wanatakiwa kuwa wenyeviti au Marais wa klabu husika.
|
Uchaguzi huo wa kamati hiyo utafanyika Jumapili Oktoba 15, 2017 jijini Dar es Salaam na unaendeshwa kwa mujibu wa kanuni za Uchaguzi za TFF toleo la 2013.
|
STAA wa Misri, Mohamed Salah, atakosa mchezo mmoja tu wa Kombe la Dunia baada ya hapo atakuwa fiti. Salah aliumia bega kwenye mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid baada ya kuumizwa na Sergio Ramos. Hata hivyo, kulikuwa na hofu kuwa staa huyo atashindwa kucheza fainali hizo lakini sasa imefahamika kuwa atakwenda na kukosa ...
|
Leo October 9, 2018 Mhandisi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Stanslaus Simbila amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kosa la kutumia madaraka yake vibaya ambayo yamepelekea Kampuni ya Zwart kupata kiasi cha EURO 491,622.42 sawa na BILIONI 1,293,248,789.
|
Inadaiwa kuwa kosa hilo ni kutumia madaraka yake vibaya, ambapo amelitenda kati ya June 9 na 19,2010.
|
Mshtakiwa aliachiwa kwa dhamana ya wadhamini 2, waliowasilisha hati ya Mali ya Sh.MIL 100. Kesi imeahirishwa hadi November 8,2018.
|
Ishu ni moja tu! baki ‘mule mule’ na Vodacom msimu huu wa Sikukuu (+video)
|
Raia wa China wahukumiwa miaka 30 jela ama faini ya shilingi bilioni 108.7
|
Raia wa China wahukumiwa miaka 30 jela ama faini ya shilingi bilioni 108.7 [IMG] Mahakama ya hakimu mkazi kisutu imewahukumu raia wawili wa...
|
Kwa haya matangazo ya nguvu za kiume tunayoyaona kila siku? Baadhi ya wanaume kwa kujitutumua jamani hahahaaahaha. Ila kweli bora kama kwingine kumekushinda, compensate tu kwenye ngono. A man who thinks maisha ya ndoa ni all about sex....Mungu tusaidie wanawake
|
Wazungu wana uaminifu flani kwa kiasi kikubwa sana!
|
Wao wanaishi kwa kanuni Kwenye mambo mengi!
|
Wanajua kupenda kwa moyo wao wote!
|
Nje ya ngono mnawaza kutafuta mwanamke mwingine kufanya ngono!
|
Mtoto wa Baba said:
|
Mambo mnayowafanyia wanawake mngefanyiwa ninyi ingekuwa vita...ila mkiwafanyia wanawake huwa mnaona n sawa tu mna haki ya kufanya hivo...huo n ubinafsi wa hali ya juu....mnaangalia sana tamaa zenu za mwili bila kujali upande wa pili
|
Tatizo lenu mnataka kujilinganisha na wanaume ndo shida yenu, mwanaume Ni kichwa na atabaki kuwa kichwa, mwanaume Ana wanawake wawili na wewe mwanamke unataka ushindane naye
|
Likes: Mtoto wa Baba
|
Mtoto wa Baba
|
Mwisho wa hiyo Vita wenyewe mnakuja kulia mwishoni, kwani Babu yako alikuwa Ana mke mmoja?
|
Yaan hakuna kulia tutakomaa had mwisho...mmeshajiwekea kwamba tutalia hayo n mawazo yenu....babu zangu wote walikuwa na wana mke mmoja mmoja hadi leo.
|
Nafikiri hamaanishi mke wa ndoa, anamaanisha uhusiano wa kimapenzi na mwanamke nje ya ndoa.
|
Kwa hiyo ni kweli, mwanaume ambaye hana uhusiano na mwanamke mwingine nje ya yule rasmi, inawezekana kwa kipindi fulani tu, sio maisha yake. Au akiwa hayuko vizuri kiuchumi, au akiwa kwenye matatizo mazito, au kwa kuogopa kitu fulani, mfano anatarajia kuomba/kugombea cheo cha kisiasa!
|
Ila kama kila kitu kiko sawa, lazima atakuwa na mchepuko tu!
|
Kwa hiyo biblia inasema Mungu alihalalisha wanaume kuendekeza tamaa? Halafu hao unaowarefer n wanaume wenye tamaa kama ninyi tu ...ila sidhani kama Mungu alikuwa anapendezwa na maisha yao ya kuwa na wanawake wengi
|
Arsenal yatamba baada ya kutwaa Ngao ya Jamii - M-MEDIA Tz
|
Klabu ya Arsenal jana ilifanikiwa kutwaa Ngao ya Jamii baada ya kuishinda Chelsea kwa mikwaju ya penalti 4-1 katika mchezo wa Ngao ya Jamnii uliopigwa katika uwanja wa Wembley.
|
Arsenal ilipata ushindi huo baada ya sare ya bao 1-1 dhidi ya Chelsea ambao walikuwa wa kwanza kupata bao la kuondoza dakika 46 likifungwa na Victor Moses lakini Arsenal walisawazisha kupitia kwa mchezaji aliyesajiliwa karibuni kutoka klabu ya Shalke ya Ujerumani Sead Kolasinac dakika ya 82.
|
Leo ni siku ya tatu kuanzia Harmonize na mpenzi wake Wolper waanze kuposti picha wakiwa mtwara kwa wazazi wa harmonize. I am h...
|
TATIZO LA KUTOPATA RAHA WAKATI WA TENDO LA NDOA
|
Wapo ambao wakati wanapofanya mapenzi badala ya kupata raha, husikia maumivu, mwanaume katika uume lakini ni mara chache sana kulinga...
|
PICHA 20: Kutoka kwenye msiba wa Ivan Don, Kampala Uganda
|
wakati watanzania wakijiuliza chanzo cha kukithiri mauwaji ya watu kuchinjwa ,kumetokea tukio lingine ,baada ya watu wanane wa familia ...
|
KWA wanaofuatilia kwa karibu suala la uvamizi wa kisiwa cha Anjouan, Comoro bila ya shaka watakuwa wameisikia taarifa ya redio ya Marekani (Voice of America) iliyoonyesha jinsi Tanzania inavyojiimarisha kama nchi yenye nguvu na ushawishi mkubwa katika eneo hili la Afrika.
|
Jumatatu iliyopita, redio hiyo ilionyesha namna rais Jakaya Kikwete anavyopanda chati katika eneo hili la Pembe ya Afrika. Kuchaguliwa kwake Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) mapema mwaka huu kuliashiria hilo.
|
Tayari majeshi hayo yamekirejesha kisiwa hicho chini ya himaya ya serikali ya muungano wa Comoro.
|
Wapo waliopinga matumizi ya kijeshi. Hawa ni pamoja na Afrika Kusini. Binafsi, naunga mkono mtazamo huu, kutokana na ukweli kuwa daima nguvu za kijeshi hazileti mafanikio ya kudumu.
|
Kiongozi wa kisiasa na wa ki-imani wa India, aliyeshiriki katika kuleta uhuru kwao miaka ya 1940 aliwahi kusema: Napinga utumiaji nguvu kwa azma yoyote ile, kwa sababu iwapo nguvu itaonekana kuleta mafanikio, basi mafanikio hayo ni ya muda tu, lakini uovu utakaofuatia ni wa kudumu.
|
Kwa upande mwingine, utumiaji wa nguvu hautokani na maamuzi huru. Inajulikana wazi kuwa AU haina uwezo wa kifedha kugharamia harakati za kijeshi.
|
Kwa mfano, tunaambiwa vifaa na sehemu kubwa ya fedha zilizogharamia uvamizi wa Anjouan, zilitolewa na Ufaransa. Kidogo tu ndio walitoa nchi wanachama wa AU ikiwamo Libya.
|
Ufaransa imekuwa inajiingiza katika migogoro ya Comoro mara kwa mara tangu nchi hiyo ilipopata uhuru mwaka 1975. Hadi sasa, Ufaransa inakishikilia kisiwa cha Mayotte.
|
Wakazi wa kisiwa hiki, walipiga kura na wakaamua kubakia chini ya Wafaransa, koloni la zamani la Comoro, ingawa serikali huru ya Comoro na Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), uliapa kukikomboa.
|
Hadi leo hii, si kwa njia ya kijeshi, wala ya mazungumzo, bado Mayotte haijakombolewa. Si Kikwete wala kiongozi mwingine yeyote aliyethubutu angalau kutamka neno kupeleka jeshi Mayotte ili kuiondoa Ufaransa katika ardhi ya Afrika.
|
Kwa hakika, nchi nyingi zilizopata uhuru barani Afrika, pamoja na utajiri lililonao bara hili, bado wananchi wake wanasumbuliwa na umasikini mkubwa. Hiyo inatokana na viongozi wengi kujilimbikizia mali. Pengine hilo ndilo lililowafanya wananchi wa Mayotte kuamua kubakia chini ya ukoloni.
|
Kutokana na hali hiyo, anaonekana kama anatumiwa tu na nchi za Magharibi kwa maslahi yao. Inampasa aangalie vizuri kabla ya kuadhirika kama ilivyomtokezea Mobutu Sese Seko wa iliyokuwa Zaire.
|
Maana hebu fikiria. Je, iwapo Ufaransa isingegharamia uvamizi wa Anjouan, Kikwete angekuwa na ubavu wa kungangania uvamizi? Hapa pia kuna suala la undumila kuwili katika kufanya maamuzi.
|
Kuna utata kuhusu mgogoro wa Darfur, kwani AU inashikilia kupeleka majeshi ya kulinda amani. Amani gani inayolindwa wakati makundi mbalimbali yangali yanapigana na serikali ya Khartoum na hayataki kusaini mkataba wa amani?
|
Rais Hassan Al-Bashir hakubali kufuata masharti ya Marekani kwa hivyo Marekani inawaona waasi wa Darfur ni halali na kwamba wana haki ya kupigana na serikali ya Khartoum.
|
Na katika kutimiza azma yao, akina George W. Bush wamebuni fitina mbaya zaidi, kwamba majeshi ya serikali ya Khartoum yanafanya mauaji makubwa jimboni Darfur yanayofanana na yale ya kimbari au yale ya Bosnia.
|
Kwa kuwa na ushawishi mkubwa wa maamuzi kwenye Umoja wa Mataifa (UN), hasahasa Baraza la Usalama, Marekani imefanikiwa kushinikiza vikwazo dhidi ya Sudan.
|
Inadai kwamba nchi hiyo inafanya mauaji kwa raia wake Darfur. Maazimio hayo hayataji kabisa mauaji ya kimbari.
|
Hii ni tofauti na nchi nyingine kama vile Chad au DRC, ambako Marekani huona ni halali majeshi ya serikali kupigana na waasi.
|