text
stringlengths 1
4.5k
|
---|
Tanzania pia imekubali kutuma vikosi kulinda amani Darfur, na bila ya shaka hili lilizungumzwa wakati Bush alipozuru Tanzania Februari mwaka huu, na kufanya mazungumo ya faragha.
|
Wakati Kikwete na Bush wanatia saini mkataba wa kuipatia Tanzania msaada wa dola 700 milioni za Marekani, baadhi ya wachunguzi wa mambo walisema fedha hizo zina jambo, maana haijatokea Marekani ikatoa fedha nyingi bila ya kuweka akiba kwa ajili ya maslahi yake baadaye. Ingali mapema kuanza kuvitambua vitakavyokuja?
|
HALI YA HEWA
|
KAMERA YA MTAA KWA MTAA
|
KANDA YA ZIWA
|
KUPATWA KWA JUA
|
MAKAMU WA RAIS
|
MIFUKO YA JAMII
|
MTAA KWA MTAA TV
|
UMOJA WA TAIFA
|
WAZIRI MKUU
|
Serikali ya Jamuhuri ya Cuba imetiliana Saini Mkataba na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa Usomeshwaji wa Madaktari Wazalendo 15 wa Zanzibar Nchini Cuba katika Fani ya Shahada ya Uzamili ya Udaktari.
|
Madaktari hao 15 ambao Wanane wa Mwanzo wataanza Mafunzo yao Mwezi ujao wakifuatiwa na wengine 7 wa awamu ya Pili ni Miongoni mwa Wanafunzi waliomaliza masomo yao kupitia mpango wa masomo ulioasisiwa kati ya Serikali ya Cuba na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
|
Saini ya Mkataba huo kwa Serikali ya Cuba imewekwa na Balozi wa Nchi hiyo Nchini Tanzania Profesa Lucas Domingo Hernades na kwa upande wa Zanzibar Saini ikatiwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Bibi Halima Maulid Salum.
|
Hafla hiyo fupi ya Kihistoria imeshuhudiwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyejumuika pamoja na baadhi ya Mawaziri wa Wizara husika, Watendaji wa Wizara hizo na kufanyika Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar.
|
Akizungumza katika hafla hiyo Balozi wa Jamuhuri ya Cuba Nchini Tanzania Profesa Lucas Domingo Hernades alisema Cuba bado inaendelea kutafakari maeneo mapya zaidi inayoweza kushirikiana na Zanzibar katika kuendelea kupiga hatua kubwa zaidi za Kiuchumi na Maendeleo.
|
Balozi Lucas alisema suala la kuwafanya Wananchi wa Visiwa vya Unguja na Pemba wanakuwa katika ustawi ulio bora zaidi wa afya na kipato limepewa kipaumbele na Serikali ya Cuba kuliko jambo jengine lolote la ushirikiano wa pande hizo mbili.
|
Balozi wa Cuba Nchini Tanzania alielezea faraja yake kutokana na ukarimu anaoushuhudia wa Watu wa Zanzibar kwa wageni jambo ambalo limempa nguvu na ari zaidi ya kuona jinsi gani anaweza kuitumia fani yake ya Diplomasia katika kudumisha udugu wa pande hizo mbili.
|
Naye Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema mkataba huo wa Usomeshwaji wa Madaktari Wazalendo wa Zanzibar Nchini Cuba umejenga historia mpya ya ushirikiano kati ya Zanzibar na Cuba katika Sekta ya Afya kuelekea mfumo wa kisasa wa Sayansi na Teknolojia Ulimwenguni.
|
Balozi Seif aliishukuru na kuipongeza Jamuhuri ya Cuba kupitia Balozi wake Nchini Tanzania kwa ukarimu wake wa kupungua kima cha malipo kwa Wanafunzi hao wa Fani ya Udaktari katika ngazi ya Shahada ya Uzamili ya Udaktari.
|
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar alimuhakikishia Balozi Lucas Domingo kwamba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na ile ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanmzania zitaendelea kuupa ushirikiana ubalozi huo ili uendelee kutekeleza vyema majukumu yake ya Kidiplomasia.
|
Mapema Waziri wa Afya Zanzibar Mheshimiwa Mahmoud Thabit Kombo alisema uhusiano wa Sekta ya Afya kati ya Zanzibar na Cuba umeanza kupata baraka zaidi kufuatia Ziara ya Rais wa Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein wakati akiwa Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Zanzibar aliyoifanya Nchini Cuba Mnamo Mwaka 2008.
|
Waziri Mahmoud alifahamisha kwamba mafunzo hayo yamekuwa yakiendelea kwa makundi mengine ya Udaktari kila Mwaka ambapo mfumo uliopo hivi sasa kwa mafunzo hayo umejumuishwa na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar {SUZA}.
|
Alisema ushirikiano wa Kidiplomasia kati ya Jamuhuri ya Cuba na Zanzibar umeasisiwa Mnamo Mwaka 1964, Cuba ikiwa ni miongoni mwa Mataifa Matano ya Kwanza yaliyoitambua Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar mara baada ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Mwaka 1964.
|
Jamuhuri ya Cuba kupitia Balozi wake Nchini Tanzania katika Mkataba huo uliowekwa saini imeridhia kupungua kima cha malipo kwa kila Mwanafunzi katika Kundi hilo la Madaktari 15 Wazalendo wa Zanzibar katika ngazi ya Shahada ya Uzamili ya Udaktari.
|
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
|
Balozi wa Cuba Nchini Tanzania Profesa Lucas Domingo Kushoto na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Bibi Halima Maulid Salum wakisaini Mkataba wa Usomeshwaji wa Madaktari Wazalendo 15 wa Zanzibar Nchini Cuba katika Fani ya Shahada ya Uzamili ya Udaktari.Nyuma yao ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na aliye simama mbele yao ni msaidizi wa Balozi wa Cuba Meylin Suarez.
|
Profesa Lucas Domingo Kushoto na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Bibi Halima Maulid Salum wakibadilishana nyaraka za Mikataba mara baada ya kusaini.
|
Balozi Lucas Domingo akizungumza kabla ya utiaji saini kwenye Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar iliyopo Vuga Mjini Zanzibar. Wa kwanza kushoto ni Makamu wa Pili wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Waziri wa Afya Zanzibar Mheshimwa Mahmoud Thabit Kombo.
|
Balozi Lucas Domingo Kushoto akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif mara baada ya utiaji saini mkataba wa usomeshwaji wa Madaktari wa Zanzibar Nchini Cuba.
|
Balozi Lucas Domingo Kushoto akibadilishana mawazo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Moh’d Aboud Moh’d.
|
Nyuma na Mheshimiwa Moh’d Aboud ni Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Dr. Idriss Muslim Hijja.
|
Waziri wa Afya Mh. Mahmoud Thabit Kombo Kushoto akiwa katika Picha ya Pamoja na Balozi wa Cuba Nchini Tanzania Profesa Lucas Domingo Kulia na Msaidizi wake Bibi Meylin Suarez pamoja na Mtoto wake. Picha na – OMPR – ZNZ.
|
[KAMERA YA MTAA KWA MTAA][carousel2]
|
MKAKATI MPYA WA KITAIFA WA KUPANDA NA KUTUNZA MITI WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI.
|
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mbarak Abdulwakil (kushoto) akifuatilia maelezo ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya M...
|
PICHA ZA MECHI YA SIMBA NA YANGA INAYOCHEZWA MUDA HUU UWANJA WA TAIFA, JIJINI DAR
|
Zoezi la uokoaji kwa wanafunzi hao likiendelea. Zoezi la uokoaji likiendelea. Majina ya Baadhi ya wanafunzi waliotambulika...
|
MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAMIA YA WATANZANIA KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MZEE KINGUNGE
|
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha kumbukumbu cha maombolezo ya msiba wa...
|
MKUU WA WILAYA YA HAI ASIMAMIA ZOEZI LA UONDOSHAJI WA MIUNDO MBINU YA UMWAGILIAJI KATIKA SHAMBA LA KILIMO CHA KISASA LA MBOWE
|
Mkuu wa Wilaya ya Hai ,Gelasius Byakanwa akiwa na kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Hai katika lango la kuingilia katika shamba la Kil...
|
ASKARI WA USALAMA BARABARANI WAFANYA UKAGUZI MABASI WA KITUO KIKUU CHA MABASI UBUNGO
|
UJUMBE WA RAIS MSTAAFU MZEE BENJAMINI WILLIAM MKAPA KWA VYOMBO VYA HABARI
|
Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu Bakwata ,Sheikh Khamis Said akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam...
|
ILIYOTUFIKIA HIVI PUNDE: ZAIDI YA WANAFUNZI 20 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA GARI HUKO KARATU ASUBUHI HII
|
Taarifa iliyotufikia hivi punde, kuna ajali imetokea muda huu katika eneo la Rhotia Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha, iliyohusisha Basi li...
|
Mkoa wa Kigoma ni moja ya mikoa ambayo maendeleo ya kielimu bado yako chini sana (kuna vyuo viwili tu vya ualimu na hakuna shule nyingi - hata zilizopo ufanisi wake ni mdogo ukilinganisha na mikoa mingine).
|
Kwa kuguswa na suala la hilo na nikiwa pia ni mwenyeji wa huko nimeazimia kutoa huduma hiyo mimi mwenyewe (japo vijisenti havitoshi kuwekeza katika mradi huo), hivyo najipanga ili nianzishe shule yangu itakayokuwa na 3-WINGS: Shule ya Msingi (English Medium), High School (Sayansi na Biashara) na Chuo cha Ualimu (kwa ajili ya Diploma na Grade A) hususani katika maeneo ya vijijini.
|
Kwa hivi sasa nimeomba kuuziwa ardhi kijijini kwetu mkoani Kigoma na serikali ya kijiji na wananchi wenyewe wameafiki sana mradi huo na wako tayari kuniuzia sehemu ya ardhi kijijini hapo (eka 150) na wangependa ujenzi wa shule hizo ukamilike mapema ili watoto wao wasome.
|
Pamoja na kufanya biashara, malengo yangu ni kuanzisha mfumo wa kipekee katika katika kutoa elimu, mfumo ambao utawawezesha wazazi/wanafunzi kulipa ada nafuu na hivyo kuwa msaada wa maana sana kwa watoto kutoka familia maskini kwani wengi hawasomi shule nzuri za private kutokana na kukosa uwezo kifedha. Hivyo nikifanikiwa kujenga shule hizo nakusudia kuanzisha mfumo wa Learning by Doing and Earning.
|
Katika mfumo huo pamoja na kusoma masomo ya kawaida kwa ajili ya kufanya mitihani ya kitaifa wanafunzi watafundishwa pia stadi za ujasiriamali na kuanza kuzalisha bidhaa (kilimo, ufugaji, ufundi nk) wakiwa bado ni wanafunzi na kuuza bidhaa hizo hapo hapo shuleni na hata nje ya shule. Kwa hiyo mwanafunzi ataweza hata kujilipia ada yeye mwenyewe bila msaada wa mzazi - na inawezekana.
|
Wana JF, naombeni mnipe habari kuhusu mashirika au hata watu binafsi wanaoweza KUFADHILI mradi wangu kwa hatua za awali ili kukamilisha walau madarasa 3-5 ya kuanzia. Nimeulizia maswala ya mikopo naona suala hilo linawezekana kama tayari mradi unafanya kazi (operational) na siyo kuanzisha.
|
Kwa kutegemea hela yangu mwenyewe inaweza kuchukua muda mrefu kidogo kukamilisha ujenzi huo.
|
hizo n habari njema kwa wakazi wa kigoma na vijiji vyake. ni wazo zuri sana, kilichobaki asa, jitaidi sana angalau ujenge hata madarasa mawili na ofisi za walimu t...
|
habari,vipi ndugu,ulifanikiwa kutimiza lengo lako la kuanzisha shule?
|
Karatasi ya kupigia kura-ni siri?
|
kabla ya mtihani wa kumaliza shule huwa kuna Mock exams,hii inamuandaa mwanafunzi kujua mtiahani utafananaje etc,pia kuna past papers,hii pia inajenga uzoefu wa mazingira.
|
ni jambo jema kwa tume ya uchaguzi kutoa sample copies za kupigia kura,ili zichapwe katika magazeti,wananchi wajue kuwa mgombea uraisi picha yake itakuwa upande gani,mbunge na diwani,ili ukiingia tu ktk kupiga kura hupotezi muda ,kama ni upande wa kulia,kushoto wa karatasi ,fasta unapiga kura bila kupoteza muda.
|
tukumbuke ktk vituo vya kupiga kura kutakuwa na Polisi,kuna baadhi ya watanzania wanaogopa magwanda ya police,etc,watakuwa na uwoga wa mazingira,hata ktk swala zima la kampeni,inakuwa rahisi kupiga kampeni,kuwa ukiingia tu wewe cheki kulia utaona mgombea wako,
|
Magazeti ya chama,UHURU na mzalendo,Daily news na mengineyo yangeweza kuprint hizi templates za karatasi za kupigia kura bila kusahau magazeti yetu ya uhakika Tunayajua
|
Ba-ndugu tembelea ofisi za serikali za mitaa wamezibandika kuonyesha jinsi zilivyo(Urais,Ubunge na Udiwani)
|
Ila tatizo moja niliyoona ni kuwa karatasi hizi za mfano zinatunatumika vibaya kwa makusudi /kwa kutokuju na baadhi ya watu.
|
Watu hawa huweka alama mbili tofauti Ndiyo na Hapana kwenye makaratasi haya ya mfano mbele ya picha za wagombea na hii inaonekana kwa baadhi ya maeneo inafanywa kwa makusudi ya kuwa changanya wapiga kura wasiojua kusoma/wenye uelewa mdogo.
|
Na kuwa na alama mbili tofauti kwenye karatasi moja ya Urais/ubunge/udiwani tayari hii ni kura iliyoharibika.
|
Ulishawahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa? _ JamiiForums _ The Home of Great Thinkers
|
Ulishawahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa?
|
Umewahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa?
|
watu wanafisadi hadi kwenye mahusiano yao, Bongo kweli hali mbaya sana kwa nchi mpaka wananchi wake.
|
Na wewe unakuwa kama mgeni hapa? Haya wasiliana na vijana wa kazi kwa kutuma email hapa [email protected]
|
Mimi Nimeoa. Ndoa yangu ina miaka kumi.
|
Ndani ya ndoa nimeshacheat na wasichana kadhaa,
|
Na kabla ya kiapo?
|
kabla ya kiapo sijawahi kutoka na mume wa mtu, nilitoka na single tu.
|
Mimi nipo kwenye ndoa kwa miaka 5!
|
Nachoshukuru ni kupata msamaha wa kweli kutoka kwa mwenzangu pasipo masharti wala kinyongo (Ilitokea tukiwa na 3yrs). Ndio maana niko mstari wa mbele kuwaomba na kuwaasa wenzangu wasijitumbukize huko ni balaa tupu kama sio laana kabisa!
|
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia amemtangaza kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars.
|
Wallace Karia amemtangaza Emmanuel Amunike kutoka Nigeria kuwa kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na bia ya Serengeti kwa mkataba wa miaka 2.
|
Emmanuel Amunike anaichukua timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars ” ambayo ilikuwa chini ya Salum Mayanga mzalendo ambaye mkataba wake uliisha.
|
Tafuta kwenye Vipengele vyote Vifaa vya Umeme Bidhaa za Nyumbani Usafiri Ajira Nyumba na Viwanja Vinavyouzwa & Kupangishwa Mitindo na Urembo Vifaa vya Ujenzi Kalenda ya Matukio Kilimo & Ufugaji Jenereta na Suluhisho za Umeme Watoto Vifaa vya Ofisini Michezo Ofa za Kusafiri Tanzania Huduma na Mafundi
|
Kalenda ya Matukio
|
Vifaa vya Ofisini
|
Kamera za CCTV na Mifumo ya Usalama
|
Vyombo vya Muziki
|
Boti na Usafiri wa Maji
|
Mitindo ya Harusi
|
Vifaa vingine vya Ujenzi
|
Vifaa vya Paa
|
Vifaa vya Sakafu
|
Muziki wa Bendi
|
Vifaa vya Shambani
|
Viatu vya Watoto
|
Vitabu vya Watoto
|
Vifaa vingine vya ofisi
|
Vifaa vya Mazoezi
|
Vifaa Vingine vya Michezo
|
Vifaa vya Kambi
|
Ofa za Wikiend kwa Wakazi wa Tanzania
|
Swala la Uhaba wa wataalam nalo halikubaki nyuma. Mjadala mkubwa uliangazia jitihada mbali mbali za mataifa zinazofanywa ili kuweza kuwa na wataalam wakutosha wenye uwezo sahihi wa kujua namna ya kudhibiti, kukabiliana na kuzuia uhalifu mtandao.
|
Ushirikiano katika maswala ya usalama mitandao kuanzia ngazi ya kitaifa kibara na kimataifa ilionekana bado ni changamoto kubwa sana ambayo bado ku safari ndefu kuhakiki tunafikia malengo. Njia rafiki ya kuhakiki tunakua na utamaduni wa kushirikiana kuanzia ngazi ya taifa moja moja kabla ya kuvuka mipaka ilisisitizwa kufanyiwa kazi ili kurahisisha vita dhidi ya uhalifu mtandao.
|