text
stringlengths
1
4.5k
Wataalam mbali mbali walipata fursa ya kuonyesha kwa vitendo gunduzi mpya za kisasa zenye kurahisisha uwezo wa kubaini, kuzuia na kukabiliiana na uhalifu mtandao ambapo kila gunduzi ilipata kujadiliwa kwa kina ili kuweza kuleta tija dhidi ya mapambano na uhalifu mtandao.
Mataifa na vikundi mbali mbali pia vilipata fursa ya kuonyesha takwimu mbali mbali za maswala ya uhalifu mtandao na njia mbazo mataifa hayo yameendelea kukabiliana na wimbi kubwa la wahalifu mtandao. Mjadala mkubwa katika kuzikosoa na kurekebisha jitihada hizo ulipata kuonekana wenye malengo madhubuti ya kuwa na bara salama kimtandao.
Pali angaziwa pia vifaa mbali mbali vya kiusalama mitandao ambapo vimeendelea kutumika ipasavyo kuhakiki uhalifu mtandao unakabiliwa ipasavyo. Huku pakitolewa baadhi ya vifaa hivyo kwa washiriki ili kuweza kuongeza tija kwenye mapambano dhidi ya uhalifu mtandao katika mataifa mbalimbali barani Afrika.
RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA BALOZI WA QATAR NCHINI NA SPIKA - MZUKA BLOG
RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA BALOZI WA QATAR NCHINI NA SPIKA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Balozi wa Qatar hapa nchini Mhe Abdallah Jassim Al Maadadi Ikulu jijini Dar es salaam leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Qatar hapa nchini Mhe Abdallah Jassim Al Maadadi Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Spika wa Bunge Mstaafu na mwenyekiti mpya wa Bodi ya
Wakurugenzi ya Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF), Mama Anne Makinda Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 16, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa katika mazungumzo na Spika wa Bunge Mstaafu na mwenyekiti mpya wa
Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF), Mama Anne Makinda Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni
aa5: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiagana na Balozi wa Qatar hapa nchini
Mhe Abdallah Jassim Al Maadadi baada ya kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni
Na TUNU NASSOR -DAR ES SALAAM BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha) limesema limeshangazwa na kauli ya aliyekuwa mgombea urais kupitia chama hicho, Edward Lowassa, kumsifia Rais Dk. John Magufuli. Katibu Mkuu wa Bavicha, Mwita Julius amesema suala hilo halijawahi kujadiliwa katika vikao vya chama hicho. Kauli hiyo imetolewa siku mbili baada ya Lowassa kwenda Ikulu na kuzungumza na Rais Dk. Magufuli ambako kiongozi huyo alipongeza kazi kubwa ya maendeleo inayofanywa na Rais Dk. John Magufuli. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana,...
Jaji mmoja wa Marekani amesimamisha kwa muda utekelezaji wa amri ya Rais Donald Trump ya kuwazuia raia kutoka mataifa saba, yaliyo na raia wengi wa imani ya Kiislamu kuingia nchini Marekani.
Jaji wa Seattle alipuuzilia mbali sababu zilizotolewa na mawakili wa Serikali na kusema kuwa amri hiyo inaweza kusimamishwa mara moja huku kesi hiyo ikiendelea kusikilizwa mahakamani.
Serikali inatarajiwa kukata rufaa ya dharura dhidi ya uamuzi huo wa mahakama, ambao ni changa moto kubwa kwa utawala wa Trump.
Serikali ya Marekani inasema kuwa makumi ya maelfu ya visa zimefutiliwa mbali tangu rais Trump kutia sahihi amri ya kupunguza idadi ya watu wanaopaswa kuingia nchini Marekani juma lililopita.
Kutokana na hatua hiyo, Idara ya Forodha ya Marekani imeyaambia mashirika ya ndege kwamba waruhusu abiria kupanda ndege kuelekea Marekani abiria ambao walinyimwa ruhusa baada ya Rais Trump kutoa amri kwamba watu kutoka nchi saba zenye Waislamu wengi, wakataliwe kuingia Marekani.
Wakati huohuo waziri Mkuu wa zamani wa Norway, Kjell Magne Bondovik, alisema kuwa alizuiwa katika uwanja mmoja wa ndege mapema juma hili, katika tukio alilosema ni la uchokozi, kwa sababu eti alikuwa na visa ya Iran katika paspoti yake.
VIDEO: KONGAMANO LA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI, KITAIFA JIJINI MWANZA. ~ g sengo
VIDEO: KONGAMANO LA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI, KITAIFA JIJINI MWANZA.
Fuatilia yaliyojiri kwenye Kongamano la Wanataaluma na Wadau wa Habari kuelekea Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani 2017, lililofanyika kitaifa Jijini Mwanza.
HIYO NDIYO BREAKING NEWS NA HABARI YA MUJINI HASA MJI MKUU WA UINEREZA LONDON ''
Hongera da Frola kwa kazi nzuri ya mikono yako, mungu akubariki sana...
Mwakalebela ambaye aliwai kuwa kiongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini, mwaka 2010 aligombea ubunge wa kwa tiketi ya CCM katika kura za maoni ambapo Kada mwenzie wa chama hicho Monica Mbeya alimshinda katika kura za maoni na Mbega akawa amechaguliwa kupeperusha bendera ya CCM jimboni hapo lakini hata hivyo Mbega alishindwa na jimbo hilo likachukuliwa na mbunge Peter Msigwa wa chama cha Chadema.
Ilipofika mwaka 2011, Takukuru ilimfungulia kesi hiyo ya jinai yeye na mkewe ya madai ya kutoa na kushawishi rushwa kwa wapiga kura katika kampeni za kusaka ubunge wa jimbo hilo.
“Faida kubwa ambayo wakazi wa jiji la Dar es Salaam watarajie ni kupata umeme wa uhakika (reliable power supply ulio kwenye viwango stahiki, (Acceptable quality power supply) hususan kwa wale wa maeneo ya katikati ya jiji,” Aliongeza Meneja wa TANESCO Mkoa wa Ilala, Mhandisi Athanasius Nangali.
Akieleza zaidi, Mhandisi Nangai alisema, “Mradi huu unaviwezesha viituo tajwa kuwa na njia mbili za kuvvipatia umeme na hivyo kuwezesha kuwa na njia mbadala ya kupata umeme endapo njia moja kati ya hizo itakuwa na hitilafu.” Alifafanua.
Hizi ndio njia za kusafirisha umeme ardhini zilizojengwa kwenye shule ya sekondari ya wasichana Jangwani jijini Dar es Salaam
SHIMUTA BONANZA MKOA WA DAR ES SALAAM KUFANYIKA VIWANJA VYA CHUO KIKUU ARDHI. _ Ardhi University
Mkurugenzi wa maendeleo ya michezo Bw.Yusuph Singo kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo akiongea na washiriki wa Bonanza wakati wa ufunguzi katika viwanja vya Chuo Kikuu Ardhi. Baadhi ya washiriki wa Shimuta Bonanza wakiwa na wenyeji wao wafanyakazi wa Chuo Kikuu Ardhi katika mazoezi ya viungo.
Timu ya mpira wa pete ya Chuo Kikuu Ardhi wakisubiri mechi dhidi ya UDSM
Mgeni rasmi akisalimiana na wachezaji wa mpira wa pete kabla ya kuanza bonanza. Wachezaji wa mpira wa miguu katika mechi zilizokuwa zinaendele a siku ya Bonaza katika viwanja vya Chuo.
RAIS KIKWETE APOKEA UJUMBE TOKA KWA RAIS WA SUDANI YA KUSINI MHE SALVAR KIIR IKULU JIJINI DAR ES SALAAM SEPTEMBER 14,2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amepokea ujumbe maalumu toka kwa Rais Salvar Kiir Mayardit wa Sudani Kusini Ikulu jiji Dar es salaam ulioletwa na mjumbe malumu Jenerali James Kok Ruea Jumamosi September 14, 2014 Ikulu jijini Dar es salaam. Mjumbe huyo aliongozana pia na Mkuu wa Kituo cha Martti Ahtisari (Martti Ahtisari Centre) kwa nchi za Afrika chini ya Jangwa la Sahara, Bw. Itonde Kakoma
Airtel Money YAGAWA BILIONI 3 KWA WATEJA NA MAWAKALA.
Kulia Meneja wa Airtel Money Bw, Asupya Nalingigwa akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) jinsi Mr Money wa Airtel Money atakavyogawa faida ya shilingi billion 3 kwa wateja wa Airtel Money na mawakala wake nchi nzima ikiwa ni faida yao kutokana na kutumia Airtel Money kuanzia Januari hadi juni mwaka huu kushoto ni Meneja wa uhusiano wa Airtel Bw, Jackson Mmbando jana.
Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu mpango wa kugawa gawio la faida ya shilingi billion 3 kwa wateja wa Airtel Money na mawakala wake nchi nzima ikiwa ni faida yao kutokana na kutumia Airtel Money kuanzia Januari hadi juni mwaka huu. Kulia ni Meneja wa Airtel Money Bw, Asupya Nalingigwa jana.
Dar es Salaam, Jumanne 23 Agosti 2016, Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imetoa gawio la faida la kila kiasi cha shilingi billion 3 kwa wateja wake wa Airtel Money na mawakala wakubwa na wadogo nchi nzima
Airtel imetoa gawio la faida kwa kipindi cha kuanzia mwezi Januari hadi juni mwaka huu ambapo kila mteja atalipwa sehemu ya faida kulingana na kiasi cha salio lake katika akaunti yake ya Airtel Money kila siku
Akiongea na waandishi wa habari , Meneja Uhusiano wa Airtel Bw, Jackson Mmbando alisema “Tunayofuraha kutoa gawio la faida la shilingi bilioni 3 kwa wateja wetu na wakala nchi nzima. Tunaamini gawio hili la faida litawawezesha wateja wetu kutatua mahitaji yao ya kifedha na hivyo kuthibitisha dhamira yetu ya kuendelea kutoa huduma za kifedha”
“Tumejipanga kuwawezesha wateja wetu kwa kupitia huduma na bidhaa tunazozitoa. huduma ya Airtel Money imelenga kuleta unafuu na kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha katika maeneo mbalimbali nchini hususani ya maeneo ya pembezo mwa nchi. Aliongeza Mmbando
Mpaka sasa Airtel imeshatoa kiasi cha shilingi billion 10 kwa wateja na mawakala wa Airtel money tangu 2014
Waziri Mahiga akutana na Balozi Korhonen wa Finland nchini
Waziri ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Balozi Klaus Korhonen wa Finland walipokutana kwa mazungumzo Wizarani Jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo wamejadili masuala mbalimbali kuhusu biashara na kudumisha uhusiano wa kidplomasia baina ya Tanzania na Finland
Mhe. Waziri Balozi Dkt. Augustine Mahiga akifafanua jambo, wa kwanza kushoto ni Balozi wa Finland nchini Tanzania, Balozi Mhe.Pekka Hukka akifuatilia mazungumzo
Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy (kulia) akifuatilia Mazungumzo
Home > JAMII > MAKAMU WA RAIS CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (DARUSO) SHAMIRA MSHANGAMA AKUTANISHA WADAU KUJADILI DHANA YA “MWANAMKE NA UONGOZI” UDSM
MAKAMU WA RAIS CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (DARUSO) SHAMIRA MSHANGAMA AKUTANISHA WADAU KUJADILI DHANA YA “MWANAMKE NA UONGOZI” UDSM
Aliyekuwa Mgeni Rasmi katika kongamano hilo lililo andaliwa na Makamu wa Rais wa Serikali ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Bi. Shamira Mshangama Mh. Sophia Mjema akitoa nasaha zake kwa wote waliohudhuria katika kongamano hilo lililofanyika katika Ukumbi wa Nkurumah Chuo kikuu cha Dar es salaam.
Ufafanuzi wa eneo katika Kiswahili
uwanja fulani wa maarifa.
Posof ni mji na wilaya iliopo Mkoani Ardahan kwenye kanda ya Anatolia ya Mashariki huko nchini Uturuki.
Posof katika Mkoa wa Ardahan (kwenye kanda ya Anatolia ya Mashariki) nchini Uturuki
Je unajua kitu kuhusu Posof kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Wilaya za Mkoa wa Ardahan
Hii ni orodha ya wilaya za Eire:[1]
Eire (Ireland) katika Statoids.com (Kiingereza)
Je unajua kitu kuhusu Wilaya za Eire kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Mahali pa mji wa Bagnolet katika Ufaransa
Bagnolet ni mji wa Ufaransa.
Je unajua kitu kuhusu Bagnolet kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Jamii:Miaka ya karne ya 5 - Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamii:Miaka ya karne ya 5
Makala katika jamii "Miaka ya karne ya 5"
Ufafanuzi msingi wa kware katika Kiswahili
ndege jamii ya kuku, lakini mdogo kuliko kuku, aishiye porini, mwenye mwili wa rangi ya kahawia au hudhurungi na mabaka meupe au meusi na miguu ya rangi nyekundu au manjano.
mahali panapochimbwa mawe kwa ajili ya kazi mbalimbali au panapovunjwa mawe kwa mashine ili kupata kokoto.
Kimanta ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Kamerun inayozungumzwa na Wamanta. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kimanta imehesabiwa kuwa watu 5300. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kimanta iko katika kundi la Kitivoidi ambalo linafanana na lugha za Kibantu.
Je, unajua kitu kuhusu Kimanta kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Dover ni mji mkuu na wa pili kwa ukubwa katika jimbo la Delaware nchini Marekani.[1] Mji upo katika eneo la Mto wa Mt. Jones katika pwani tupu ya Mto Delaware. Mji ulipewa jina na William Penn kwa ajili ya Dover huko Kent, Uingereza. Na kwa mwaka wa 2007, mji ulikadiriwa kuwa na wakazi wapatao 35,811.[2]
Je unajua kitu kuhusu Dover, Delaware kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Vipande vinawekwa kwenye vipindi vya 10, 20 na 30yrd.
Wachezaji hufanya kazi zao za joto na kazi za kutosha ili zifanane na mafunzo yao wenyewe na mahitaji yao ya maandalizi. Wachezaji wanahamia kwenye vikundi vya 2 au kama watu binafsi (kama inavyoonekana katika mchoro).
Wachezaji wanapaswa kufanya shughuli hizi ili kuandaa (joto-up) kwa kikao cha mchezo au mafunzo. Vipande vinawekwa 10yrds mbali na mtu mwingine. Wachezaji wanaendelea karibu na wimbo mpaka shughuli zote zimekamilishwa. Vipande vya wachezaji karibu na vidole vya mwisho huku wakizunguka wimbo katika mwelekeo wa kupambana na saa.
Kabla ya kuanza halisi ya joto up wachezaji utaratibu ni aliuliza Jog kuzunguka mbegu kwa muda wa dakika 3 kuongeza joto ya msingi.
Nchi ya Burundi leo inapiga kura ya maoni kufanya marekebisho ya katiba ambayo yanaweza kumuweka Rais wa sasa Pierre Nkurunziza madarakani mpaka mwaka 2034.
Kwa mujibu wa BBC Kura hiyo itapigwa ya ndiyo au hapana ili kuongeza muda wa Rais kukaa madarakani kutoka miaka mitano mpaka saba katika awamu moja.
Katiba ya sasa imeweka ukomo kwa Rais aliyepo madarakani kuhudumu kwa kipindi cha awamu mbili, kwa mujibu wa mabadiriko yatakayofanywa yatampa uhuru Rais Nkurunziza kugombea tena katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 akiwa kama mgombea mpya na hivyo huenda akatawala mpaka mwaka 2034.
Chama tawala CNDD-FDD kinachoongozwa na Nkurunziza ndicho kinaendesha kampeni ya kuunga mkono upigwaji wa kura ya ndiyo huku kiongozi wa upinzani Agaton Rwasa chini ya mwamvuli wa muunganiko wa vyama vya upinzani ujulikanao kama Amizero y’Abarundi wakihamasisha kura ya hapana.
Ufafanuzi wa daku katika Kiswahili
chakula kinacholiwa usiku baada ya kufuturu na kabla ya kufunga siku inayofuata wakati wa Ramadhani.
Ufafanuzi msingi wa firari katika Kiswahili
Ufafanuzi wa karabai katika Kiswahili
taa yenye utambi wa kimia na inayotumia mafuta ya taa na hutiwa upepo.
Ufafanuzi msingi wa ugeni katika Kiswahili
hali ya kutozoea mahali, kazi, n.k..
hali ya kutokuwa mwenyeji.
‘Leo tuna ugeni kutoka Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Duniani’
sehemu ya katikati ya shina la mti na ambayo ni laini.
Natamani ningekuwa na muda wa kusoma vitabu vingi, lakini mgawanyo wa kazi huu duh!
Kidoka ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Wadoka. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kidoka imehesabiwa kuwa watu 11,400. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kidoka iko katika kundi la Plateau.
Je, unajua kitu kuhusu Kidoka kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Ufafanuzi wa kigutu katika Kiswahili
pata chakula kwa kuwategemea wengine.
‘’’Uchaguzi Mkuu wa Kenya wa 2002’’’ ulukuwa uchaguzi wa tatu nchini humo chini ya mfumo wa vyama vingi. Ulifanywa mnamo 27 Desemba 2002
Uchaguzi wa Urais[hariri _ hariri chanzo]
e • d Muhtasari wa matokeo ya Uchaguzi wa Urais wa Kenya, 2002
Uchaguzi wa Wabunge[hariri _ hariri chanzo]